Nyama bei Juu Dar,Dodoma

Nyama ikiwa bushani tayari kwa kuuzwa kwa mlaji wa kawaida

Wafanyabiashara wa Nyama ya ng'ombe katika manispaa ya Dodoma wametangaza kupandisha bei ya nyama kutoka elfu 6000 hadi elfu 7000 huku jijini Dar es Salaam ikipanda kutoka 6000 mpaka 8000 na sehemu nyingine ikifika hadi elfu 10000.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS