Magufuli avunja bodi ya TPA,amtema Katibu Uchukuzi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amevunja bodi ya Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) pamoja na kutengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka