NEC yataka vyama kutoa elimu siku ya upigaji kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imewataka viongozi wa vyama vya siasa kutoa Elimu kwa wanachama wao kwa kuzingatia na kutekeleza sheria ya uchaguzi ,Maelekezo na kanuni za tume hiyo ili kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanya kwa amani na utulivu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS