LHRC waitaka NEC kubandika majina mapema

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dr. Hellen Kijo-bisimba

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini NEC imetakiwa kubandika haraka majina ya wapiga kura vituoni ili wapiga kura wahakiki majina yao mapema kabla ya siku ya uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS