Wananchi msifanye kampeni siku ya uchaguzi- LHRC

Wananchi wametakiwa kujiepusha na vitendo vyovyote ambavyo vitaashiria kampeni siku ya uchaguzi, kwani kwa kufanya hivyo atakuwa amekipelekea chama chake kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuvunja sheria za uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS