Wasanii UDSM watoa somo kwa Tanzania

msanii wa muziki kutoka 'We Belong To Art' Eberhard Komba wa nchini Tanzania

Wasanii wa muziki kutoka chuo Kikuu cha Dar es Salaam yaani UDSM All Stars, wamekazia mchango wao katika kuhamsisha amani kuelekea uchaguzi, sambamba na harakati hizo kukiwa na kazi yao ya pamoja ambayo inasimama kwa jina 'Tanzania Mpya'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS