Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga
Mahujaji wengine watatu kutoka Tanzania ambao walikuwa hawaonekani tangu kutokea ajali ya kukanyagana kwa mahujaji Makkah nchini Saudia Arabia wametambuliwa ni miongoni mwa waliofariki dunia.