Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya udhibiti wa nishati,maji nchini Felix Ngalamgosi.
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za Nishati na maji (EWURA) imetoa onyo kwa wafanyabiashara wa mafuta atakaetengeneza uwepo wa upungufu wa mafuta katika kipindi hiki cha kampeni.