Wasanii wawekeze katika sekta nyingine - Bundala

Mwanahabari wa habari za burudani na mtayarishaji wa muziki Fredrick Bundala, amewashauri wasanii ambao wamefanikiwa kupitia muziki kuwekeza katika sekta nyingine, ili kuweza kulinda heshima yao hapo baadae.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS