Narudisha fadhila kwa jamii- Baraka Da Prince

Msanii Baraka De Prince ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa nivumilie aliomshirikisha mwanadada Ruby, ameamua kurudisha fadhila kwa jamii anayotoka baada ya kupata mafanikio kupitia kipaji chake cha kuimba muziki.

Baraka ameiambia Planet Bongo ya East Africa Radio, ana mpango wa kujenga maktaba katika shule aliyosoma pamoja na vitu vingine, ukiwa kama mchango wake kwa jamii hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS