Mfumuko wa bei waongezeka

Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu na Makazi Bw. Ephraim Kwesigabo

Mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 6.1 mwezi Septemba mwaka huu hadi asilimia 6.3 Oktoba mwaka huu kutokana na kushuka kwa shilingi ya kitanzania katika manunuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS