Serikali yaombwa kuongeza usimamizi kwenye madini

Waziri wa nishati na madini Mh George Simbachawene

Licha ya sekta ya madini kuchangia asilimia 3.5 kwenye pato la Taifa wakazi wa Arusha wamesema kuwa mchango huo bado hauridhishi ukilinganisha na uzalishaji wa madini katika sekta hiyo nyeti hivyo wameitaka serikali iongeze usimamizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS