Wawekezaji wa ndani wa sukari waimarishe viwanda

Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda

Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda amewataka wawekezaji wa ndani katika sekta ya sukari kuhakikisha wanaimarisha viwanda vyao kwa kuzalisha sukari kwa wingi kutokana na mahitaji ya bidhaa hiyo kuhitajika kwa watanzania wengi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS