Wanasiasa watakiwa kuacha tofauti katika maendeleo

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya ya Meatu bw Erasto Sima

Viongozi wa madhehebu mbalimbali yaliyopo wilayani Meatu mkoani Simiyu wamewaomba wanasiasa ambao hawakubahatika kushinda katika nafasi za udiwani na ubunge kuondoa tofauti zao na badala yake waungane katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS