Wakazi wa Mtwara waingiwa hofu kuhusu mita 200

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo

Kufuatia kutoelewana kuhusu suala la kusimama umbali wa mita 200 kutoka eneo la kupigia kura, baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mtwara Mikindani wameanza kushikwa na hofu juu ya usalama wao kiasi cha kulazimika kukimbia mji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS