Watoto wenye Albinism waomba wasifichwe

Mmoja wa Watoto kutoka shule ya Msingi Mariado Primary, Gifti Gervas

Watoto wenye (Albinism) wameitaka jamii isiwafiche na kuwanyanyapaa badala yake iwapatie elimu itakayowasaidia wao na jamii zao hivyo wameitaka serikali na jamii kuchukua jukumu la kuwalinda dhidi ya watu wenye mila potofu dhidi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS