Kala: 'Tujitokeze kupiga kura'

Staa wa muziki nchini Kala Jaremiah

Star wa muziki Kala Jaremiah, leo zikiwa zimebaki siku 2 kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania ameonesha kuwa na imani na utaratibu mzima wa matokeo ya uchaguzi kuanza kutolewa katika vituo, akiamini kuwa mwaka huu zoezi hilo litakuwa ni la kipekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS