Wawekezaji Sekta ya Gesi kuwekewa mazingira bora

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi NEEC, Beng'i Issa

Wawekezaji wa Kimataifa katika Sekta ya Gesi asili na mafuta wamehakikishiwa mazingira mazuri ya uwekezaji nchini kwa kuwawekea sera nzuri zitakazonufaihsa pande zote mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS