Watakaomsindikiza Wizkid watambulishwa

Mratibu wa onyesho Solomon Nasuma akizungumza na waandishi wa habari

Onesho la kimataifa la msanii kutoka Nigeria, Wizkid Live In Dar litasindikizwa na wasanii, Diamond, Fid Q, pamoja na Christian Bella Jumamosi hii kwenye uwanja wa Leaders Club jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS