Magufuli, Samiah kukabidhiwa hati ya ushindi leo

Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Joseph Pombe Magufuli akiwa na Makamu wake wa Rais Mama Samia Hassan Suluhu

Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye kwa sasa ndiye Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo anatarajiwa kukabidhiwa hati ya ushindi kutoka tume ya taifa ya Uchaguzi(NEC).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS