Magufuli awe kiunganishi cha Maendeleo kwa wote
Wakazi wa jiji la Arusha wamemtaka Raisi Mpya wa Awamu ya tano John Pombe Magufuli awe kiunganishi cha Watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa ,kabila na dini ili kujenga umoja wa kitaifa utakaoleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi.