Vijana watakiwa kuchangamkia fursa za Ujasiriamali

Meneja wa Maswala ya Kisheria na Ushirika wa kampuni ya TOTAL Tanzania Bi. Marsha Msuya

Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa ya kushiriki kwenye mashindano yanayowashirikisha wajasiliamali kama njia ya kuendeleza mitaji,kusimamia na kupata taaluma ya uendeshaji wa miradi ya kimaendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS