Mafuriko yaua wawili Mwanza, Airport yafungwa

Uwanja wa ndege wa Mwanza ukiwa umefurika majii baada ya mvua kubwa kunyesha.

Watu wawili wamefariki dunia kutokana na kukumbwa na mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha kwa masaa kadhaa jijini Mwanza, akiwamo mwanafunzi wa kidato cha nne aliyesombwa na maji wakati akiwahi kufanya mitihani ya mwisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS