Serikali yatakiwa kukomesha mauaji mkoani Kagera

Padre Faustine Kamugisha Paroko wa kanisa kuu jimbo la Bukoba

Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini katika mkoa wa Kagera wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka ili iweze kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili yaliyotawala mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS