Serikali yatakiwa kukomesha mauaji mkoani Kagera Padre Faustine Kamugisha Paroko wa kanisa kuu jimbo la Bukoba Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini katika mkoa wa Kagera wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka ili iweze kudhibiti vitendo vya mauaji ya kikatili yaliyotawala mkoani humo. Read more about Serikali yatakiwa kukomesha mauaji mkoani Kagera