Wanafunzi wasomea chini ya miti Mtwara vijijini
Wanafunzi wa shule ya msingi Nanyati, kata ya Mkunwa katika halmashauri ya Mtwara vijijini wanalazimika kusomea chini ya miti na wengine kukaa chini kutokana na kukosa madarasa na madawati, baada ya shule hiyo kuwa na chumba kimoja.