Amini amuaminia Dk. Magufuli

Rais John Pombe Magufuli

Baada ya kuanza kazi kwa namna ya aina yake kwa Rais wa awamu ya 5 Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli, star wa muziki Amini amesema kuwa anamtakia Rais huyo afya, maisha marefu na pia mafanikio katika maamuzi yenye lengo jema ya kuiendeleza Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS