Baadhi ya watoto wachanga waliozaliwa Njiti katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam( PICHA NA MAKTABA)
Serikali imetakiwa kuendelea kujengea uwezo hospitali nchini hasa vitengo vya tiba ya mama na mtoto ili kuokoa maisha ya watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati.