Wanaoishi mabondeni Iringa washauriwa kuhama

Afisa Uhusiano wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Bw. Humphrey Kisika

Wananchi wanaoishi kwenye maeneo ya mabondeni mkoani Iringa wametakiwa kuchukua tahadhari mapema kutokana na mvua kubwa ambazo zinaweza kusababisha madhara makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS