TID, Q Chief kukumbushia enzi hizo Q Chief, J Wolper, TID Baada ya kuachia kolabo ya Mkungu wa Ndizi inayomhusisha TID pamoja na Q Chief, TID amesema kazi waliyofanya itakuwa na maisha, na itajitangaza yenyewe kutokana na kurudisha ladha iliyokosekana kwa muda. Read more about TID, Q Chief kukumbushia enzi hizo