Mwili wa aliyefariki shimoni apatikana

Mmoja wa Manusra hao akiendelea na matibabu.

Serikali kupitia idara ya madini mkoani Shinyanga, imefanikiwa kuutoa mwili wa Mussa Supana aliyefariki shimoni akiwa na wenzake watano ambao waliokolewa hivi karibuni wakiwa hai katika mashimo ya Nyangarata wilayani Kahama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS