Mkapa; Wazazi wahimizeni watoto kupenda elimu

Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, awamu ya tatu, Benjamin William mkapa akihutubia katika moja na mikutano aliyoaalikwa

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu nchini Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa, amewataka wazazi wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania kutoa msukumo kwa watoto wao kujali umuhimu wa elimu, ili wanufaike na uwekezaji unaoendelea katika mikoa hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS