Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi - NEC, Dkt Ramadhani Kailima.
Wananchi wa jimbo la Lulindi wilayani Masasi Mkoani Mtwara, leo wanapiga kura katika uchaguzi mdogo wa kumtafuta mbunge wa jimbo hilo, baada ya uchaguzi huo kuahirishwa hapo awali.