Mkwasa atoa changamoto kwa klabu nchini

kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa stars kwenye picha ya pamoja kuelekea moja ya mechi iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam

kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa amezitaka klabu za soka hapa nchini kuruhusu wachezaji wao kwenda nje ya nchi kucheza soka la kulipwa endapo nafasi zitatokea ili kuwapa uzoefu wa mechi za kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS