NEC Yavitaka vyama vya siasa kukubali matokeo

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Dk. Ramadhani Kailima, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria NEC Bw. Emanuel Kawishe Wakizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani.

TUME ya Taifa ya Uchaguzi ( NEC) imesema hadi sasa viti maalumu vya Udiwani ambavyo madiwani wake wameteuliwa na tume hiyo ni viti 1393, kutoka katika Vyama vya CCM, CHADEMA, NCCR- MAGEUZI pamoja na CUF.

Hayo yamesemwa jijijini Dar es Salaam na mkurugenzi wa uchaguzi kutoka NEC Bw. Kailima Ramadhani wakati akitoa taarifa kwa umma kuhusu uteuzi wa madiwani wanawake wa viti maalumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS