Mghwira awataka mawaziri kufanyakazi kwa viwango

Mwenyekiti wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira

Chama cha Act-Wazalendo kimewataka Mawaziri kumshauri Rais katika kazi zake na sio kuelekezwa kufanya shughuli zao ikiwemo wengine kufanya kazi kwa kasi ya Rais bila ya kuwa na viwango na ufanisi katika kile wanachokifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS