Maji,Migogoro ya ardhi bado tatizo Longido

Mkuu wa Wilaya ya Longido Ernest Kahindi.

Uhaba wa maji na migogoro ya ardhi bado ni matatizo sugu yanayakabili wakazi wilaya Longido mkoa wa Arusha,ambapo wakazi wake wameiomba serikali ya awamo ya tano kuyatafutia ufumbuzi wa haraka, ili kuwanusuru na majanga yanayoweza kuwakuta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS