Wakulima wapongeza mbegu bora za muhogo

Mratibu wa utafiti wa zao la Muhogo kitaifa Dkt. Godfrey Mkamilo

Wakulima wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameipongeza serikali kwa kuwawezesha kupata mbegu mpya za kisasa za mhogo zitakazowawezesha kupata mavuno mengi zaidi na kuwa na uhakika wa chakula tofauti na mbegu walizokuwa wakitumia awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS