Wakulima wapongeza mbegu bora za muhogo
Wakulima wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameipongeza serikali kwa kuwawezesha kupata mbegu mpya za kisasa za mhogo zitakazowawezesha kupata mavuno mengi zaidi na kuwa na uhakika wa chakula tofauti na mbegu walizokuwa wakitumia awali.
