Waathirika wa UKIMWI Njombe walalamikia unyanyapaa

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) , Dkt. Fatma Mrisho

Wakati Tanzania ikibadili matumizi ya fedha zilizotarajiwa kutumika katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI, baadhi ya waathirika wa ugonjwa huo mkoani njombe wamewatupia lawama baadhi ya wahudumu kwa kauli za kuwanyanyapaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS