Wazee wamuomba magufuli awatatulie Changamoto

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) akizungumza na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Wazee nchini wamemuomba Rais John Pombe Magufuli awasaidie kutatua changamoto zinazowakabili ikiwemo kukosa huduma bora za afya, lishe bora pamoja na kutolipwa mafao yao kwa wakati pindi wanapostaafu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS