Burna Boy kufunguliwa UK
Star wa muziki kutoka Nigeria Damini Ogulu, aka Burna Boy anajipanga kumaliza kifungo chake cha kuingia nchi za Ulaya kwa namna ya aina yake, akiwa tayari katika mpango wa kufanya onesho lake mwaka kesho, tukio ambalo binafsi amelipania sana.