Jenista awatembelea waathirika wa majanga ya mvua

Waziri wa nchi sera,uratibu na Bunge ,ajira na Walemavu Mh. Jenista Mhagama amewatembela na kuwafariji wwaathirika wa Majanga ya mvua

Waziri wa nchi Sera, Uratibu, Bunge, ajira na Walemavu Mh. Jenista Mhagama amewatembela na kuwafariji waathirika wa majanga ya mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zimeharibu nyumba za wananchi na kuwaacha bila makazi ya kuishi mkoani Ruvuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS