BABA 'T' asheherekea siku ya kuzaliwa

Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T

Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha East Africa Radio Emsley Smith almaarufu kama Baba T anayeendsha kipindi maarufu cha Lovers Rock siku ya jumapili kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi jioni leo hii ametimiza miaka 79 ya kuzaliwa kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS