Mawaziri waapa kazi tu,Maghembe kulia na majangili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasilina Utalii Desemba 28,2015 Ikulu

Mawaziri walioapishwa Jana katika kukamilisha baraza la mawaziri lilitangangazwa na Rais wa Tanzania John Pombe magufuli wameahidi kufanya kazi nguvu ili kuwaletea maendeleo Watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS