Nigeria iko tayari kuzungumza na Boko Haram Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari, amesema serikali yake iko tayari kuzungumza na wanamgambo wa Boko Haram ili kuwaachia huru wanafunzi wa kike 209 waliowateka nyara mwezi Aprili 2014, kwenye mji wa Chibok. Read more about Nigeria iko tayari kuzungumza na Boko Haram