Ligi kuu ya soka Tanzania bara kurejea tena.

Nembo ya bodi ya ligi Tanzania.

Baada ya kusimama kwa wiki mbili kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, Ligi Kuu ya soka Tanzania bara mzunguko wa 14 unatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 8 kuchezwa katika viwanja mbalimbali hapa nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS