Bunduki iliyotungua helkopta yapatikana Simiyu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu Lazaro Mambosasa amesema wamefanikiwa kuikamata bunduki iliyotumika kuitungua helikopta na kumuua rubani wake Rodgers Gower (37) raia wa Uingereza katika tukio lililotokea ndani ya pori la akiba wilayani Maswa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS