Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala
Wataalamu wa lugha ya kiswahili nchini wametakiwa kuandika na kuhakikisha vitabu na machapisho yanayoandikwa yanalenga kukuza na kusaidia kuenea kwa lugha ya kiswahili ndani na nje ya nchi.