M23 na DRC watofautiana kuhusu kusitisha vita

Katika taarifa ya Jumapili, vuguvugu la M23 limesema mazungumzo ya amani hayatarejea baina yake na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mpaka masharti yote ya tamko la kanuni yatatekelezwa kikamilifu. Hii ni pamoja na kuachiliwa kwa wafungwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS