Tutavilinda viwanda vya ndani kwa nguvu-Magufuli
Serikali ya Awamu ya Tano imesema kuwa itaweka nguvu zake zote katika kuvilinda viwanda vyake vya ndani ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mazingira wezeshe wawekezaji wa ndani katika kujenga viwanda vingi nchini.