Tanzania kuingiza mamilioni mradi dawa ya malaria

Baadhi ya mitambo katika kiwanda cha dawa ya kuuwa viluwiluwi vinavyosababisha ugonjwa wa malaria cha LABIOFAM kilichopo Kibaha mkoa wa Pwani.

Tanzania inatarajia kuingiza kiasi kikubwa cha pesa za kigeni kufuatia kukamilika na kuanza kazi kwa kiwanda cha LABIOFAM kilichopo Kibaha mkoa wa Pwani, kinachozalisha dawa za kibaiolojia zinazotumika kupambana na ugonjwa wa malaria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS