Ukubwa wa mtaji katika soko la hisa waongezeka

Meneja Miradi na Biashara wa DSE Bw. Patrick Mususa

Ukubwa wa mtaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE umeongezeka kwa asilimia mbili kutoka fedha za Tanzania shilingi trilioni 23.5 hadi shilingi trilioni 24 kwa mujibu wa taarifa ya mauzo katika soko hilo kwa kipindi cha juma moja lililopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS