Nyumba 644 kujengwa Magomeni Kota,DSM

Eneo lililokuwa na nyumba za Kota Magomeni, linavyoonekana baada ya nyumba hizo kubomolewa ili kupisha shughuli za mradi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amesema kuwa Rais Magufuli ameamua kuwa waliokuwa wapangaji katika nyumba za serikali za 'Magomeni Kota' Dar es Salaam, wauziwe nyumba 644 zitakazojengwa na serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS